Powered By Blogger

Ijumaa, 9 Februari 2024

THUWAIBA "CHUBELLA" AKUTANA NA ZUIO LA SMZ KWENYE MICHEZO Na FINE NONO.


Kwenye Hali ya kushtua na kusikitisha Sana Mwanaharakati, Mwanamichezo na Mpenzi wa soka Zanzibar Ndugu Thuwaiba Aboud Muhidin amekutana na ZUWIO LA KUSHIRIKI SHUGHULI ZA MICHEZO NA KULIPA FINE.

Maamuzi haya ya Baraza la MICHEZO yametolewa kutokana chapisho la tarehe 6/2/2024 
Chanzo cha #WambajeUpdates kimekutana na malalamiko na upokeaji wa maamuzi haya kutoka Kwa Ndugu Chubeilah na kusema haya "...Tangu niko mdg mpk leo hii jina analoniita baba angu ni JIKE LA SIMBA 
Wapendwa wangu hakuna chochote kinachoniumiza kwenye iyo barua niko sawa kuliko nlivokua sawa nyakati zilizopita
KILA KIZA KINAPOKUA KIKUBWA BAC JUA KUNA PAMBAZUKA✌🏽..."

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni