Maamuzi haya ya Baraza la MICHEZO yametolewa kutokana chapisho la tarehe 6/2/2024
Chanzo cha #WambajeUpdates kimekutana na malalamiko na upokeaji wa maamuzi haya kutoka Kwa Ndugu Chubeilah na kusema haya "...Tangu niko mdg mpk leo hii jina analoniita baba angu ni JIKE LA SIMBA
Wapendwa wangu hakuna chochote kinachoniumiza kwenye iyo barua niko sawa kuliko nlivokua sawa nyakati zilizopita
KILA KIZA KINAPOKUA KIKUBWA BAC JUA KUNA PAMBAZUKA✌🏽..."

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni